Luke 3:21-22
21 aBaada ya watu wote kubatizwa, Isa naye akabatizwa. Naye alipokuwa akiomba, mbingu zilifunguka. 22 bRoho Mtakatifu akashuka juu yake kwa umbo kama la hua, nayo sauti kutoka mbinguni ikasema: “Wewe ni Mwanangu mpendwa; nami nimependezwa nawe sana.”Ukoo Wa Bwana Isa
(Mathayo 1:1-17)
Copyright information for
SwhKC